WANAFUNZI WA KIDATO CHA SITA WABUNI MFUMO WA KUWASAIDIA WALIMU KUSAHISHA MITIHANI

Wanafunzi wa kidato cha sita wamebuni mfumo wa kuwasaidia walimu kusahihisha mitihani kwa urahisi zaidi. Wanafunzi hao walifanya hivyo baada ya kuona changamoto wanayopitia walimu wakati wa kusahisha mitihani na kuamua kubuni mfumo rafiki ambao utakuwa ukisaidia kusahihisha mitahani kwa muda mfupi na kwa uhakika zaidi.

Post a Comment

Previous Post Next Post